Home > Terms > Swahili (SW) > Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Ni eneo linalotambuliwa na Shirika la Elimu,Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Taifa kama sehemu yenye thamani maalum ya kitamaduni. Linaweza kuwa msitu, mlima, ziwa, jangwa, mjengo, au mji mkubwa Orodha linatengenezwa na programu ya urithi wa dunia inayoendeshwa na kikundi cha Urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utamaduni la Umoja wa Mataifa. Mwaka wa 1872, Kuna maeneo mia tisa sitini na mawili ambayo ni maeneo ya urithi wa dunia ambayo yako katika nchi mia moja hamsini na saba Kwa hayo, mia saba arobaini na tano ni ya kitanmaduni, mia moja themanini na nane ni ya kiasili na ishirini na tisa ni mchanganyiko.

0
  • Szófaj: proper noun
  • Szinonimák:
  • Blossary:
  • Ipar/Tárgykör: Culture
  • Kategória: People
  • Company:
  • Termék:
  • Betűszó/Rövidítés:
Hozzáadás a Szójegyzékemhez

Mit szeretne mondani?

Hozzászólás közzétételéhez be kell jelentkeznie.

Terms in the News

Featured Terms

DEBORA KAYEMBE
  • 0

    Terms

  • 0

    Szójegyzékek

  • 7

    Követő

Ipar/Tárgykör: Government Kategória: American government

Making Home Affordable

Mpango rasmi wa Idara ya Hazina & Nyumba na Maendeleo Mijini kusaidia wamiliki wa makazi ambaye ni ikikabiliwa na malipo ya mikopo, au inakabiliwa ...

Beküldő

Featured blossaries

Exercise

Kategória: Health   2 20 Terms

Surgical -Plasty Procedures

Kategória: Health   3 20 Terms